TAASISI YA ELIMU YA WATU WAZIMA
(TEWW)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Ruvuma Kampus

Kampasi ya Ruvuma ipo katika eneo la Mahenge , makabala na Makumbusho ya Majimaji katika Manispaa ya Songea

S.L.P 113,

Namba ya Simu : 0752904849/0714908872

Songea.

 

PROGRAM ZINAZOTOLEWA KATIKA KAMPASI YA RUVUMA

  • BAECD  - Shahada ya Elimu ya Watu Wazima na Maendeleo ya Jamii 
  • BAECD ODL - Shahada ya Elimu ya Watu Wazima na Maendeleo ya Jamii - Masafa -  Inatolewa katika Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara.
  • BACE - Shahada ya Elimu Watu Wazima na Mafunzo Endelezi
  • BACE ODL - Shahada ya Elimu Watu Wazima na Mafunzo Endelezi - Masafa
  • ODACE - Stashahada ya Elimu ya Watu Wazima na Mafunzo Endelezi
  • ODACE- ODL - Stashahada ya Elimu ya Watu Wazima na Mafunzo Endelezi - Masafa
  • ODAECD - Stashahada ya Elimu ya Elimu ya Watu Wazima na Maendeleo ya Jamii
  • ODAECD ODL - Stashahada ya Elimu ya Elimu ya Watu Wazima na Maendeleo ya Jamii - Masafa
  • BTCACE - Astashahada ya Elimu Watu Wazima na Mafunzo Endelezi 
  • BTCAECD  - Astashahada ya Elimu ya Watu Wazima na Maendeleo ya Jamii
  • BTCDE- Astashahada ya Elimu Masafa