TAASISI YA ELIMU YA WATU WAZIMA
(TEWW)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
BACE-Shahada ya Elimu ya Watu wazima na Mafunzo Endelezi (Kwa njia ya kawaida) Kampasi ya Dar es Salaam

Bachelor Degree in Adult and Continuing Education (Conventional mode) Dar es Salaam Campus

 

 

Muda: miaka 3

Sifa za Kuingilia:

Cheti cha Elimu ya Sekondari ya Kidato cha Sita (ACSEE) yenye angalau ufaulu wa masomo mawili makuu na pointi 4 katika masomo husika.

AU

Stashahada ya Kawaida yenye angalau GPA 3.0 kutoka chuo chochote cha mafunzo kinachotambuliwa na Serikali.  .

Ada ya mwaka: mwaka wa kwanza 1,405,000, mwaka wa pili 1,395,000 na mwaka wa tatu 1,575,000 (inalipwa katika awamu 3).