TAASISI YA ELIMU YA WATU WAZIMA
(TEWW)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
BAECD

Shahada ya Kwanza katika Elimu ya Watu Wazima na Maendeleo ya Jamii (hali ya kawaida) Kampasi ya Dar es Salaam.

 

Muda : miaka 3

  Sifa za Kuingilia;

Matokeo ya Kidato cha Sita yenye Ufaulu angalau masomo mawili yenye alama 4 kwa masomo muhimu.

AU

Stashahada ya ya Kawaida ya yenye ufaulu wa  GPA 3.0 kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

Ada ya Mwaka: Mwaka wa kwanza - 1,405,000, Mwaka wa pili - 1,395,000  na Mwaka wa tatu - 1,575,000 ( Inalipwa katika awamu mbili).