TAASISI YA ELIMU YA WATU WAZIMA
(TEWW)

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kilimanjaro Kampasi

Kampasi ya Kilimanjaro , iko Wilaya ya Moshi Mjini

S.L.P 726,

Mtaa wa Taasisi , Kata ya Soweto

Tel. No. 0753684389

Kilimanjaro.

 

PROGRAM ZINAZOTOLEWA KATIKA KAMPASI YA KILIMANJARO

  • BAECD ODL - Shahada ya Elimu ya Watu Wazima na Maendeleo ya Jamii - Masafa - Inatolewa katika Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara.
  • BACE ODL - Shahada ya Elimu Watu Wazima na Mafunzo Endelezi - Masafa
  • ODACE- ODL - Stashahada ya Elimu ya Watu Wazima na Mafunzo Endelezi - Masafa
  • ODAECD ODL - Stashahada ya Elimu ya Elimu ya Watu Wazima na Maendeleo ya Jamii - Masafa
  • Darasa la Kisomo