Mkuu wa Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima (TEWW), Prof. Michael Ng’umbi akiongea wakati wa mkutano wa wafanyakazi wote wa taasisi hiyo walioko jijini Dar es Salaam (hawako pichani) leo Agosti 22, 2024, makao makuu ya TEWW mtaa wa Bibi Titi Mohamed jijini Dar es Salaam.