Baadhi ya Viongozi Waandamizi kutoka Idara ya Magereza na TEWW wakifuatilia mjadala wakati wa mazungumzo kuhusu mashirikiano baina ya Taasisi hizo leo Agosti 19, 2024.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wakati wa Kongamano la Kitaifa la Elimu bila Ukomo, lililofanyika tarehe 1 Machi, 2024.
Naibu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo, Mhe. Mussa Ramadhani Sima (Mb), akipokea Mkakati wa Kitaifa wa Kisomo na Elimu kwa Umma unaotumiwa na Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima katika kutekeleza majukumu yake wakati wa ziara ya Kamati hiyo jijini Dar es Salaam tarehe 20 Januari 2024.
Watumishi wa TEWW wakifuatilia mafunzo ya usalama na afya mahali pa kazi (OSHA). Mafunzo hayo yamefanyika jijini Dar Es Salaam, Septemba, 2023.
Prof. Philipo Lonati Sanga
Mkuu wa Taasisi
Karibuni sana TEWW ni sehemu nzuri ya kufanyia kazi